UTAJIRI WA KUKU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 апр 2025
  • #Dunia #vailet #asmafilms #manyanya #asma #dunia #Dunia59 #Dunia58 #Duniaepisode59 #dacaty #vailety #mudimzungu duniaep62 #dunia62 #duniaep63 duniaep63 #manyanya #likatv #duniaep64 #dunia64

Комментарии • 234

  • @SadahHusseinHussein
    @SadahHusseinHussein 11 дней назад +1

    Nawakubali sana

  • @WinnyMandela-z9n
    @WinnyMandela-z9n 12 дней назад +1

    Maskini wa mungu sijawai ona kitu kama hichi

  • @RobertKelvin-fv4uo
    @RobertKelvin-fv4uo 12 дней назад +1

    💕💕💕💕💕💕❤

  • @Nadia-fg8yr
    @Nadia-fg8yr 12 дней назад +1

    Dera limekupendeza atari

  • @RobartSoke
    @RobartSoke 12 дней назад

    waoooo

  • @FarajaPatrick-w7o
    @FarajaPatrick-w7o 11 дней назад +1

    We manyanya weeeeeeee love you

  • @KaramaKitemo-m9d
    @KaramaKitemo-m9d 12 дней назад +1

    Duh!!big kazingua

  • @GodifleyMbuliye
    @GodifleyMbuliye 12 дней назад +1

    Duuu bonge jikaz

  • @مزنهسالممحمدالسنانية
    @مزنهسالممحمدالسنانية 14 дней назад +72

    kama unampenda mtunzi wa dunia gonga like yako

  • @StelaJohn-k6r
    @StelaJohn-k6r 12 дней назад +2

    cjapenda hta kdg napenda ndoaaa,,wanaopenda manyanya atulie kweny ndoa gonga like hpa

  • @JustineFuraha-j2j
    @JustineFuraha-j2j 12 дней назад +1

    Mimi naitwa francine natoka drc kweli iyi filamu naipenda sana nasimimituh ila watu wengi apa kwetu wanaifatiliya sana inatufunza mengi

  • @TitoMphuru
    @TitoMphuru 12 дней назад +1

    Mwanaume mpumbavu huyuuu

  • @PromesseDunia-d2r
    @PromesseDunia-d2r 10 дней назад

    I swala imenigisa sanazaidi kunifunza mabarikiwe

  • @HOMEPRINTING-k4w
    @HOMEPRINTING-k4w 12 дней назад +1

    Khee .. Dunia na ulimwengu

  • @SaraphinaPius
    @SaraphinaPius 12 дней назад +1

    Kaz nzuri

  • @Nanabestwinner
    @Nanabestwinner 14 дней назад +15

    Tunawakubali wanetu mumetisha xana pamoja kutoka lusaka Zambia ❤❤❤❤

  • @jemimangonyani
    @jemimangonyani 11 дней назад +1

    Mmmh ila Jamani me kanifurahisha uyo kibonge kuwa yeye ni marehe mtarajiwa😬

  • @NandyWacamp-t7z
    @NandyWacamp-t7z 12 дней назад +1

    Jaman naipenda sana ihi move

  • @NuruNgolle
    @NuruNgolle 12 дней назад +1

    Kupata mimba mchepuko hakusababishi ndoa kuvunjika kikubwa mke awe ktk ubora wake na kumuomba MUNGU ktk kila jambo

  • @DoctorMandia
    @DoctorMandia 14 дней назад +27

    Uwakika sana Dunia tunajifunza vingi muendelee kutoa vitu vizuri zaidi mungu awabariki kazi ya mikono yenu

  • @GraceMaganga-s4g
    @GraceMaganga-s4g 11 дней назад +1

    Sasa hili li big linalia nini lenyewe si ndo limemuuza mkewe, halafu mbona wanaweza kufanya Kaz wapate pesa mwili mkubwa akili kisoda

  • @SevelinaHamisi
    @SevelinaHamisi 14 дней назад +10

    Baba asma anakiti chake mbinguni,
    amejua kutuburudisha

  • @JaneSagi
    @JaneSagi 13 дней назад +4

    ❤❤❤❤❤❤ unyama Sana matlida n bola umemuweka wazi manyanya

  • @shabbirymohammed9346
    @shabbirymohammed9346 13 дней назад +1

    hongeleni na mungu azidi kuwapa nguvu

  • @IrineKelvine-e1h
    @IrineKelvine-e1h 12 дней назад

    Unaendleaje pekee ako na una mwenza jamani

  • @HabibaLikulo
    @HabibaLikulo 13 дней назад +1

    Dunia na kodi ya nyumba ovyoooo

  • @deborahassan733
    @deborahassan733 13 дней назад +1

    Ukweli tangu nianze kuangalia dunia sijutii kuweka bandle langu mungu awabariki

  • @MaveneemaSolfrida
    @MaveneemaSolfrida 13 дней назад +1

    Naipenda sana filamu zenu ya dunia kitu ongezee filamu

  • @bestangwira-rs2pu
    @bestangwira-rs2pu 12 дней назад +4

    nimefurahi sana mati kuwa na mimba ya manyanya

  • @LeonidasAugustine
    @LeonidasAugustine 12 дней назад

    Akika mati unapendwa sana ila upole wako ndo mtaji wako.

  • @rasheedgoude6862
    @rasheedgoude6862 12 дней назад +1

    Ila wa big na muha wamezingua

  • @RajabuNazo
    @RajabuNazo 13 дней назад +1

    Mim sio muogeaji sana zaidi ya kuwatakia kazi mjema move yenu tumihipenda

  • @JohnShirima
    @JohnShirima 13 дней назад +1

    Da Kiukweli Kati ya Kipande ambacha Kimenifanya Nifurahi Zaidi Ni Kusikia Mati Ana ujàuzito wa manyanya, Kiukweli Mbarikiwe Sana Kwa Kazi ya Mikono yenu Jamani

  • @AshaBakari-x6f
    @AshaBakari-x6f 14 дней назад +13

    ❤❤❤❤❤❤manyanya na marti

  • @Salhaally-u1f
    @Salhaally-u1f 14 дней назад +22

    tuliofulah mati kua namimba tujuane

    • @ChonyaAC
      @ChonyaAC 12 дней назад

      A'm the first one"

  • @NeemaChessa
    @NeemaChessa 12 дней назад +3

    Ndoa na iheshimiwe na watu wote
    Team Vai oye🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️

  • @maryjohn9639
    @maryjohn9639 14 дней назад +11

    Daaaah manyanyaaàaaaaaaa utarud tu

  • @FatumaSteven
    @FatumaSteven 13 дней назад +1

    Jamani dunia ni funzo kubwa san kwa wanawake na wanaume

  • @FarajaMpiluka
    @FarajaMpiluka 13 дней назад +1

    Jamani ngoja nibaki huku uheheni mwanaume akiwa Hana kitu hawenzi mruhusu mkewe akaziniwe kisa njaa kweli uheheni hatuna shidaa

  • @MariamEvarist-p9k
    @MariamEvarist-p9k 14 дней назад +11

    Ongela sn mati nivizuliata ukificha mimb mtoto anakuumbua❤❤❤❤❤

  • @FatumaSaidi-p9d
    @FatumaSaidi-p9d 13 дней назад +1

    Tujifunze wanawake kupitia dunia❤

  • @JohnKiwale-c5f
    @JohnKiwale-c5f 12 дней назад +1

    Hongera kwa kaz

  • @LeilaGawaza
    @LeilaGawaza 12 дней назад

    Ongereni sana

  • @NuruMamba-j9m
    @NuruMamba-j9m 12 дней назад +1

    Mashallah 💓 kazi nzuri

  • @muhammadramadhan2559
    @muhammadramadhan2559 13 дней назад +1

    Sema kipande cha big hakijanyooka sana sio kizur sana

  • @MwanapiliKipasho-jt3ro
    @MwanapiliKipasho-jt3ro 14 дней назад +23

    Amefanya vizuri kwa sababu mtoto sikuzote hueka wazazi pamoja ❤❤❤❤❤

  • @HOMEPRINTING-k4w
    @HOMEPRINTING-k4w 12 дней назад +1

    Ila mganga wa Dunia ya Leo duuhh😂😂😂

  • @Raya-u2b5l
    @Raya-u2b5l 12 дней назад +5

    Manyanya chunga ndoa yako mwanamke wa nje asiharibu ndoa yako kwa sababu ya mimba.... Mimba ni tunda huna uhakika litakuwa au litadondaka.... Huna uhakika jee ni yako kwel.., wanaume muache usaliti wa ndoa zenu....

  • @TantianaKwizera-u4j
    @TantianaKwizera-u4j 13 дней назад +1

    Munatumalizia mega iyo Jo Dunia kweli

  • @negredorapha7591
    @negredorapha7591 12 дней назад +1

    Provide.. Ebhna unamluhusu Mkeo Akachapwee Kwelii Kisa Maokoto then Unashuhudia Usenge. Mwanamke Kajitunza Sana. Then unashuhudia Fala kweli😂

  • @MudyRwambo
    @MudyRwambo 6 дней назад

    Dunia

  • @EdsonSabinian
    @EdsonSabinian 13 дней назад +4

    aisee kwenye hii dunia kun meng mnatufunza asa kwa sie wenye famlia dah mung azd kuwapa ufanis wa ali ya juu sana

  • @NemaItangishaka
    @NemaItangishaka 13 дней назад +1

    114kutoka saudia rebia 🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @leticiachipando9772
    @leticiachipando9772 14 дней назад +6

    Msiwe mnatucheleweshea😢 mmeshatukamata na kututeka

  • @AhishakiyeAime-u5t
    @AhishakiyeAime-u5t 13 дней назад +3

    Manyanya ❤❤❤❤❤❤❤to

  • @AnnaviolethRutahuzibwa-wj7xg
    @AnnaviolethRutahuzibwa-wj7xg 13 дней назад +1

    makubwa we umtoe mkeo alafu uanze kulia kumbe we pang'ang'a😢

  • @ChonyaAC
    @ChonyaAC 12 дней назад +1

    Napenda Dunia kama Dunia yenyewe"

  • @CartherEmmanuel
    @CartherEmmanuel 12 дней назад +2

    Kaz nzr bro manyany 🥰👌👌🥰

  • @ElijahFrancis-t4l
    @ElijahFrancis-t4l 12 дней назад +1

    Sasaa matilda ulivozimia ulipimwa kila kitu ukawa Huna ttzo lolote, hii mimba sitaki kuamini kama unayo kweliii apa manyanya anavutwa tuu😅

  • @EvalineJoshua
    @EvalineJoshua 13 дней назад +2

    Kwaiyo Vai ajiandae TU na kupokea mtot

  • @ibrahkambale-y7j
    @ibrahkambale-y7j 13 дней назад +1

    Hapo nipoa❤❤❤❤❤

  • @DottoJohn-j3y
    @DottoJohn-j3y 13 дней назад +3

    Kiukweli niko makin sana ktk mapnz hususan na mume wa mtu.. naogopa sana

  • @shavutv
    @shavutv 14 дней назад +10

    Dah Dunia ni fire. Ila jamani fanyeni kama mnapita kwangu kuangalia nilichoandaa pia. Asanteni sana.

  • @jeffombisi7727
    @jeffombisi7727 13 дней назад +3

    Kweli hii filamu imefunza mambo mengi kwa ndoa ,kweli ndoa ina mambo mengi .lakini cha muno ni upendo na uvumilivu.KENYA TUNAWAPENDA SAAANA

  • @AliceKarembo
    @AliceKarembo 13 дней назад +1

    😂😂😂kuku hakuli Michele,bonge vp wasiwasi meanimaliza aise nimependa hiyo

  • @EliezerMwalwisi
    @EliezerMwalwisi 13 дней назад +1

    Mwanyanya me naona anamkosea matilida c waendelee na mapenz Yao hiv Kwan wazaz ndo wanae oa au mwanyanya mwenyewe❤❤❤❤❤

  • @hamphreyseth
    @hamphreyseth 13 дней назад +1

    Jaman dunia inafunza ❤❤❤

  • @BukuruKudra
    @BukuruKudra 13 дней назад +1

    Naipenda mouvie hii yani safi sana 🎉🎉🎉❤ Allah awape nguvu mzid tupa mafunzo mazur

  • @EmmanuelLucas-g2h
    @EmmanuelLucas-g2h 14 дней назад +6

    Pongezi kubwa kwenu bwana manyanya pongezi kwako

  • @ElizaHeneriko
    @ElizaHeneriko 14 дней назад +10

    Manyanya usimwache mkeo Vai utaratibu movie

  • @HjhGhgg-s9g
    @HjhGhgg-s9g 13 дней назад +1

    ❤❤❤❤.nawapenda.sana.endeleni.kutoa.mazuri

  • @KimweriJabiri-d2j
    @KimweriJabiri-d2j 12 дней назад +1

    Mko vizuri ❤❤❤❤❤❤

  • @CatherineAlly-q8p
    @CatherineAlly-q8p 14 дней назад +23

    Mimba tunayona natunatamba nayo manyanya akikataa mimba naacha kuangalia dunia

  • @gilbertondu588
    @gilbertondu588 13 дней назад +2

    Jamani dunia inafaa ije episodes mbili au tatu

  • @MoreenFrank-ki9vs
    @MoreenFrank-ki9vs 13 дней назад +1

    Kuku mwenyewe broila😂😂

  • @martinemayunga2357
    @martinemayunga2357 13 дней назад +1

    Hahhahahah😂😂😂 kuku mwenyew wa kisasa kumbe

  • @Anastasiamathias
    @Anastasiamathias 13 дней назад +1

    ❤❤❤kwanza wanapendana

  • @JeberezaMirriam
    @JeberezaMirriam 13 дней назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤ from Zambia 🙄🙄🙄

  • @benjaminhaonga
    @benjaminhaonga 14 дней назад +4

    mmeanza kuharibu kuingiza event nyingine izo uharsia wa dunia unapotea sasa

  • @LatifaAlly-g8v
    @LatifaAlly-g8v 14 дней назад +3

    Jaman hii dunia au majanga

  • @DebbyLitina-f2c
    @DebbyLitina-f2c 14 дней назад +6

    Ila Dunia mtuonee huruma, tunataka Episode 2 au Tatu kwasiku 🥺😢

  • @ChelinahNgailo
    @ChelinahNgailo 12 дней назад +1

    Ila kwa mganga nimecheka sana😂😂😂

  • @AbdulmalikBakari-i9t
    @AbdulmalikBakari-i9t 13 дней назад +2

    Jaman kubali mimba yako et ili ajisikie vizuli et ❤❤❤

  • @LardyZionlazaro
    @LardyZionlazaro 13 дней назад +1

    Mko vizuri ila sasa matangazo ni mengi jamani hadi mtu unaacha njiani kabla ya kumalizia 😢

  • @zombiegaucho-m5z
    @zombiegaucho-m5z 12 дней назад +1

    haya tunaojuwa mke wa manyanya n mgumba tujuane hapa😂😂😂

  • @angeatari1032
    @angeatari1032 13 дней назад +4

    Wametuchelewesha bwana, napenda mwanangu mati arudi kwa kawaida wake,Na manyanya alisha jua kama mati ana mimba,inataa aamuwe ,kusuka ao kunyola😊🇨🇩🇨🇩

    • @AnnaMwagama
      @AnnaMwagama 13 дней назад

      Arudi wapi kwa mati!! Hapana arudi tu kwa mkewe. Mati ni kahaba tu

  • @HellenKimonge-i2y
    @HellenKimonge-i2y 13 дней назад +1

    Wenye ndoa yetu tunaitaka 😅😅😅😅

  • @VeronicaMichael-w5t
    @VeronicaMichael-w5t 12 дней назад

    Mm nampend kaka many any make ni Mt bor sana wanaume mjifunzie kitu ap

  • @RahmaIddi-s2s
    @RahmaIddi-s2s 14 дней назад +5

    Kwanza nmestuka baada ya kusikia 🙄🙄🙄nikuge miti 🤣🤣🤣🤣

  • @LetisiaMathias-n5n
    @LetisiaMathias-n5n 13 дней назад

    Dunia inatufunz mengi

  • @HOMEPRINTING-k4w
    @HOMEPRINTING-k4w 12 дней назад

    Nikupige miti au unasemaje

  • @AngelAmina-gy6mv
    @AngelAmina-gy6mv 14 дней назад +5

    Weee sasa kutaendaje apa but bora ako na mbegu matii

  • @SurprisedBirchForest-tm5yg
    @SurprisedBirchForest-tm5yg 12 дней назад

    dunia imefika huku

  • @RukiaMkomwa
    @RukiaMkomwa 14 дней назад +3

    Mbona mmechanganya mada hatuelewi

  • @AminaKibope-tq7xl
    @AminaKibope-tq7xl 14 дней назад +12

    Naona mmetuletea dunia na ulimwengu😁😁

  • @LeticayohanaKulindwa
    @LeticayohanaKulindwa 13 дней назад +6

    Kwa kwel dunia❤❤❤❤❤

  • @DicksonNyatega
    @DicksonNyatega 13 дней назад

    ❤❤❤

  • @MusaAsumani-n7l
    @MusaAsumani-n7l 13 дней назад

    Nawapenda Sana dunia tuperaua

  • @AimeKumanda-j5e
    @AimeKumanda-j5e 12 дней назад

    🎉🎉🎉

  • @petrowililo
    @petrowililo 13 дней назад

    AKILI KUBWA HUONGOZWA NA AKILI NDOGO
    KAZ NZUR